Advertisements

Thursday, September 1, 2016

SHINDANO LA OZONA MISS LAKE ZONE 2016 LAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA

Shindano la Ulimbwende la "Ozona Miss Lake Zone 2016" linaloshirikisha Walimbwende 18 kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa limezinduliwa rasmi hii leo Jijini Mwanza.

Shindano hilo litakalofanyika jumamosi Septemba 10,2016 katika Ukumbi wa Rock City Mall, limeandaliwa na Flora Promotions na kupewa nguvu na wadhamini mbalimbali akiwemo mdhamini mkuu, Kampuni ya vipodozi ya Ozona ambayo imetoa zawadi ya gari lenye thamani ya shilingi Milioni 12 kwa mshindi wa kwanza.

Katika picha, kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Ozona, Dr.Thobias Mkina, akizungumza katika uzinduzi wa shindano hilo ambapo kushoto ni Mkurugenzi wa Flora Promotions, Flora Lauwo.
Na BMG
Wadau mbalimbali Ozona Miss Lake Zone wakiwa kwenye uzinduzi wa shindano hilo hii leo

Wadau mbalimbali Ozona Miss Lake Zone wakiwa kwenye uzinduzi wa shindano hilo hii leo
Mkurugenzi wa Flora Promotions, Flora Lauwo, akiteta jambo kwenye uzinduzi wa shindano la Ozona Miss Lake Zone 2016
Baadhi ya Washiriki wa Ozona Miss Lake Zone 2016
Baadhi ya Washiriki wa Ozona Miss Lake Zone 2016
Baadhi ya Washiriki wa Ozona Miss Lake Zone 2016
Baadhi ya Washiriki wa Ozona Miss Lake Zone 2016
Baadhi ya Washiriki wa Ozona Miss Lake Zone 2016
Baadhi ya Washiriki wa Ozona Miss Lake Zone 2016
Baadhi ya Washiriki wa Ozona Miss Lake Zone 2016
Mzee wa Masauti, Christian Bella pamoja na Mchekeshaji Erick Omond wanatarajiwa kuungana na watumbuizaji wengine pamoja na wadau wengine kwenye kufanikisha Usiku wa Ozona Miss Lake Zone 2016.

No comments: