Advertisements

Wednesday, September 14, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA MIONGOZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI MJINI DODOMA

Msanii, Mrisho Mpoto akitumbuiza katika uzinduzi wa Miongozo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi uliofanywa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa Msekwa , bungeni mjini Dodoma Septemba 14, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea bango lenye anwani na Postikodi ya makazi yake ya Dodoma baada ya kuzindua Miongozo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi kwenye ukumbi wa Msekwa , bungeni mjini Dodoma Septemba 14, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza wakati alipozindua Miongozo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi Miongozo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi kwenye ukumbi wa Msekwa , bungeni mjini Dodoma Septemba 14, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha nakakala ya kitabu cha Miongozo ya ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi bada ya kuuzindua kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni mjini Dodoma Septemba 14, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

3 comments:

Anonymous said...

Some people belong in jail not in public.

Anonymous said...

Who belongs to jail? Be specific please...

Anonymous said...

Such as?..elaborate please!