Advertisements

Monday, October 24, 2016

HAPPY 13TH BIRTHDAY CAMILA!!

Sherehe ya mdada Camila Joshua ya kutimiza miaka 13 yafana, sherehe hiyo ilifanyika jana jumapili ya tarehe 23 mwezi huu wa oktoba katika mji wa silver spring,  Maryland.
 pichani Camila akikata keki yake ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa akizungukwa na ndugu jamaa na marafiki zake.
katika picha juu na chini, Camila akiwa na ndugu jamaa na  marafiki katika picha ya pamoja

 Baba wa Camila, Bwana Joshua (kushoto) akiwa na baadhi ya wazazi waalikwa
 Mama wa Camila (mwisho kulia),Bi Iska, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wazazi waalikwa.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

No comments: