Advertisements

Wednesday, November 30, 2016

Zainab Abdallah, Mkuu wa wilaya mdogo kuliko wote Tanzania

2 comments:

Anonymous said...

Hongera sana Zainab jitahidi kwani tunahitaji damu changa za uongozi wa Tanzania mpya ya maendeleo. Kwa upande mwengine pongezi sana kwake muheshimiwa raisi kwa kuwapa nafasi na kuwaamini wanawake katika masuala ya uongozi kwa kweli ni mfano wa kuigwa.

Unknown said...

Congratulations to you Zainab. We are very proud of you as young lady to lead others.
Study hard. You will be our mentor. God Bless you.
Greetings from USA Pittsburgh.
Vicky