Advertisements

Sunday, December 11, 2016

Washindi wa EATV AWARDS 2016 hawa hapa

Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa muziki na filamu Afrika Mashariki, limefanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. 
 
Tuzo hizo zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika Mashariki, ambapo wasanii mbali mbali wamefanikiwa kujinyakulia tuzo zao.
 
Tazama orodha nzima ya washindi hapa chini..
 
Kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume
G Nako – 'Original'
Sheta –'Namjua'
Mwana FA – 'Ahsanteni kwa Kuja'
Alikiba – 'Aje' --- MSHINDI
Ben Pol – 'Moyo Mashine'
 
Mwana muziki bora wa kike
Lilian Mbabazi – 'Yoola'
Ruby – 'Forever'
Lady Jay dee – 'Ndindindi' --- MSHINDI
Linah – 'No stress'
Vanessa Mdee – 'Niroge'

 
Mwanamuziki bora chipukizi
Manfongo – 'Hainaga ushemeji' --- MSHINDI
Feza Kessy – 'Sanuka'
Rukia Jumbe (Ruky Baby) – 'Mpasuo'
Bright – 'Nitunzie'
Mayunga – 'Nice couple'
 
Kundi bora la mwaka
Navy kenzo – 'Kamatia chini'--- MSHINDI
Mashauzi Clasic - 'Kismat'
Team Mistari – 'Tuzidi'
Sauti Sol – 'Unconditional bae'
Wakali wao – 'Chozi langu utalilipa'
 
Video bora ya mwaka
Njogereza – Navio
Namjua – Shetta
Aje – Alikiba -- MSHINDI
Don't Bother – Joh Makini
Ndindindi – Lady Jaydee
 
Wimbo bora wa mwaka
Don't bother – Joh Makini
Ndindindi - Lady Jayedee
Kamatia chini - Navy Kenzo
Moyo mashine – Ben Pol
Aje – Alikiba --- MSHINDI 
 
Filamu bora ya mwaka
Facebook profile
 
Safari ya Gwalu --- MSHINDI
Mfadhili wangu
Hii ni laana
Nimekosea wapi
 
Muigizaji bora wa kiume
Meya Shabani Khamisi
 
Salim Ahmed (Gabo) --- MSHINDI
Daudi Machael (Duma)
Doto Hussein Matotola
Said Mkukila
 
Muigizaji bora wa kike
Chuchu Hansy --- MSHINDI
Rachel Bithulo
Frida Kajala Masanja
Khadija Ally
 
TUZO YA HESHIMA
DJ Maarufu bongo Boniventure Kilossa (Dj Bonny Love) ndiye mtu aliyepewa tuzo maalum ya heshima, akitambuliwa kutokana na mchango wake kwenye tasnia ya sanaa hapa nchini

2 comments:

Anonymous said...

Chibu aka Simba haonekani kwenye tuzo,ni kama amezipotezea,maslah madogo,au kaona zitamshusha chini hadhi kwa kuwania na level za chini.tunaomba mtuulizie,kwanini hayupo? maana hatuna jibu sahihi

alex mpuya said...

Mbona WCB sujaona hata mmoja hapo hata kushindanishwa tu...???????