Advertisements

Monday, January 23, 2017

MKURUGENZI WA SHIRIKA LA MAZINGIRA DUNIANI (UNEP) ATEMBELEA TANZANIA.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiongoza msafara wa ujumbe wa Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik Solheim walipotembelea dampo la taka la Pugu Kinyamwezi jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akifanunua jambo kwa Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik Solheim mbele ya Waandishi wa Habari wakati wa ziara ya kutembelea dampo la Pugu Kinyamwezi wakati wa ziara ya Mkurugenzi huyo hapa Nchini.
Meneja wa Dampo la Pugu Kinyamwezi Bwana Richard Kishera akitoa maelezo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba pamoja na Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik Solheim, jinsi ya uendeshaji wa dampo hilo najinsi ya utunzaji wa taka unavyofanyika katika eneo hilo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akimuelezea juu ya uzalishaji wa mkaa Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik Solheim na Ujumbe wake walipotembelea kituo cha uuzaji wa mkaa eneo la Ubungo jijini Dar Es Salaam.
Sehemu ya taka zinazotupwa katika eneo la utupaji taka la Pugu Kinyamwezi zikiwa zimerundikwa na Wananchi wakiendelea na shuhuli zao za kila siku za ukusaji wa chupa pamoja na ghafi taka nyingine zilizobaki kwenye takataka.

No comments: