Advertisements

Monday, January 23, 2017

WAZIRI MKUU AHIMIZA UENDELEZAJI WAKILIMO CHA CHAI NCHINI

Waziri  Mkuu  Kasiim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa Mkoa wa Njombe kutembelea viwanda vya chai  ili kujua changamoto zinazowakabili wawekezaji na wafanyakazi katika viwanda vya chai.
Waziri Mkuu amesema  hayo alipoembelea kiwanda cha chai cha Kibena kilichopo Mkoani Njombe..

Kiwanda hicho kinachomilikiwa na wawekazaji kimetoa ajira kwa watanzania zaidi ya elfu mbili miatano,Waziri Mkuu ametoa wito kwa viongozi wa mkoa wa Njombe.

Mkurugenzi wa Kibena Tea estateBw ALLAN AGOITIS ana  amemweleza waziri Mkuu  Chai ya   Tanzania  inashika nafasi ya Tatu  kwauzalishaji wa zao  hilo katika nchi za afrika mashariki
Waziri mkuu amesema serkali ya awamu ya tano imedhamiria kuendeleza viwanda vilivyopo nchini na kujenga vingine ilikukuza soko la ajira pamoja nakukuza uchumi wanchi

Piamewataka wafanyakazi katika kiwanda hicho kufanya kazi kwa uaminifu na bidii ili wawekezaji waweze kuendelea kuwepo hapa nchini

No comments: