Friday, February 10, 2017

Idd Azzan awasili kituo cha Polisi kuitikia wito wa RC Makonda

Aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Idd Azzan ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na Dawa za Kulevya.

Viongozi wengine waliotakiwa kufika polisi kuhojiwa ni  Askofu Josephat Gwajima na  Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, ambao waliripoti jana kisha wakaondolewa na kupelekwa kusikojulikana

No comments: