Advertisements

Tuesday, February 21, 2017

MSAADA UNAHITAJIKA KWA MTOTO CATHERINE.

Mzazi wa mtoto Catherine anaomba msaada wako wa hali na mali kumuweza mtoto huyu mwenye ulemavu aweze kulipa ada yake ili aendelee na masomo . Mtoto huyu anasoma shule ya St.Bernard, lakini kutokana na mama yake kutokuwa na uwezo hivi sasa wa kulipa ada mtoto yuko nyumbani. Mama wa mtoto huyu Flora anaomba wasamaria wema kuweza kumsaidia kulipa ada ya mtoto ili aweze kurudi shuleni. Kwa wale walioguswa mnaweza kutuma msaada kwa kupitia akaunti ya Evelyn Kamukuru 0112014797900 CRDB BANK

No comments: