Advertisements

Monday, March 20, 2017

TANGA UWASA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI MKOANI TANGA.

Mtaalamu wa Mazingira wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Ramadhani Nyambuka akisistiza jambo kwa waandishi wa habari kuhusu huduma kwa mteja wakati wa semina ya waandishi wa habari kuelekea kilele cha maadhimisho ya wiki ya maji Machi 22 mwaka huu
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorra Killo akizungumza jambo wakati wa kikao hicho leo 
Afisa Ankra wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga( Tanga Uwasa) Ruluani Luambo akisistiza jambo wakati wa semina hiyo 
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorra Killo akifuatilia matukio mbalimbali kwenye semina hiyo 
Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC) Joachim Kapembe akiuliza swali kwenye semina hiyo kulia ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorra Killo 
Waandishi wa Habari Jijini Tanga wakifuatilia matukio mbali mbali 
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Joshua Mgeyekwa akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu wiki ya kuadhimisha wiki ya maji iliyoanza Machi 16 hadi Machi 22 mwaka huu kulia kwake ni Meneja Rasilimali watu na Utawala wa Mamlaka hiyo,Haika Ndalama

Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha.

No comments: