Advertisements

Tuesday, April 25, 2017

MAJALIWA ATEMBELEA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA KUKAGUA MAADALIZI YA SHEREHE ZA MUUNGANO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kutembelea na kukagua maadalizi ya uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Aprili 24, 2017. Katikati ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama na kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt.Hamisi Mwinyimvua. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Bw.Yusto Chuma (kulia) ambaye ni mmoja wa wajumbe wa kamati ya Maandalizi ya Sherehe za Muungano wakati alipotembelea uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma zitakapofanyika sherehe hizo ili kujionea maandalizi hayo, Aprili 24, 2017. Kushoto kwake ni Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama . (Picha na Ofisi ya ` Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza  Bw.Yusto Chuma (kulia) ambaye ni  mmoja wa  wajumbe wa kamati ya Maandalizi ya  Sherehe za Muungano wakati alipotembelea uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Aprili 24, 2017 zitakapofanyika sherehe hizo.  Kushoto kwake ni  Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama na Kulia ni Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo. (Picha na Ofisi ya ` Waziri Mkuu)

No comments: