Advertisements

Saturday, April 22, 2017

PICHA ZA MATUKIO YA MAANDALIZI YA KUADHIMISHA SHEREHE ZA MIAKA 53 YA MUUNGANO-DODOMA.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Mkurugenzi wa Kitengo cha Maadhimisho Bi.Flora Mazeleng’we alipotembelea uwanja wa Jamhuri Dodoma ili kuangalia maandalizi ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Muungano. Aprili 21, 2017.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Jordan Rugimbana akizungumza wakati wa maandalizi ya Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika viwanja vya Jamhuri Dodoma Aprili 21, 2017.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya Maadhimisho ya Sherehe za miaka 53 ya Muungano wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa (hayupo pichani) wakati wa maandalizi ya sherehe hizo Aprili 21, 2017 Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Maadhimisho ya Muungano Bw.Yusto Chuma akionesha michoro ya muonekano wa uwanja wa Jamhuri kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe.Jenista Mhagama wakati wa maandalizi ya Maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano yanayoendelea Dodoma Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.January Makamba.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akieleza jambo wakati wa ziara ya kukagua maandalizi ya sherehe za Muungano katika viwanja vya Jamhuri Dodoma wa kwanza kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.January Makamba na kulia Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Jordan Rugimbana.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akitoa maelekezo ya kuboresha maeneo kadhaa katika Uwanja wa Jamhuri wakati wa maandalizi ya Shereha za Maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akitoa maelekezo ya kuboresha maeneo kadhaa katika Uwanja wa Jamhuri wakati wa maandalizi ya Shereha za Maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiongea jambo wakati alipotembelea Viwanja vya Jamhuri Dodoma ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano.

(PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU-DODOMA)

No comments: