Advertisements

Saturday, May 6, 2017

Lowassa, Maalim wajadili migogoro ya CUF

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amekutana na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif katika ofisi ya Lowassa iliyopo Mikocheni jijini hapa leo mchana.
Katika mkutano huo Lowassa na Maalim wamejadiliana masuala ya siasa ikiwamo migogoro ya ndani ya CUF na namna ya kuimarisha umoja na mshikamano wa umoja wa vyama vya upinzani.
Maalim Seif, ni Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu wa Zanzibar na Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema.

No comments: