Advertisements

Saturday, May 13, 2017

Mrema: Serikali ya JPM Itafanikia Vita Dhidi ya Dawa za Kulevya

 Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole nchini Tanzania Agustine Lyatonga Mrema akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale na Mrema aliyepokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.Tuzo hizo zimetolewa na Taasisi ya Mama’s and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR). Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Bi. Emmi Ally Ghahae na Mrakibu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Scholastica Luhamba.
 Mrakibu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Scholastica Luhamba akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.Uzinduzi huo ulienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale na Agustine Lyatonga Mrema( kulia) aliyepokea tuzo zote kwa niaba ya wenzake.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mama’s and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Bi. Emmi Ally Ghahae akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii akiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale na Mrema aliyepokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.Tuzo hizo zimetolewa na taasisi hiyo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole nchini Tanzania Agustine Lyatonga Mrema na Mrakibu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Scholastica Luhamba.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mama’s and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Bi. Emmi Ally Ghahae akionyesha tuzo maalum kwa kutambua mchango wa Mhe. Agustine Lyatonga Mrema (mwenye kofia) katika kuthamini jamii  wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam. Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale ambapo Mrema alipokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.
 Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole nchini Tanzania Agustine Lyatonga Mrema akipokea risala kutoka kwa mmoja wa wanufaika wa Taasis ya Mama’ and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Sempeho Samweli Mtangi  wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Bi. Emmi Ally Ghahae. Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale ambapo Mrema alipokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.
 Mwakilishi wa kundi la wasanii Bi. Rahmaty Shariffu (Najma)  akitoa nasaha kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Maweni iliyoko Kigamboni Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.Program hiyo inaratibiwa na Taasis ya Mama’ and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR).
 Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Maweni iliyopo Wilayani Kigamboni Jijini Dar es Salaam Kheri Rajab akitoa neno la shukrani kwa Taasis ya Mama’ and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.
 Paschal Gideon Mtenzi akitoa ushuhuda na nasihi kwa wanafunzi walioshiriki hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana iliyofanyika katika Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam jana.Kushoto ni Ally Baadeni Farahan, ambao wote kwa pamoja walikuwa waathirika wa dawa za kulevya lakini kwa sasa wamejinasua kwa kupata huduma ya matibabu.
 Kikundi cha sanaaa kutoka ofisi ya Kata ya Mji Mwema, Kigamboni Jijini Dar es Salaam wakitumbuiza wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.

PIX7: Baadhi ya walimu wa Shule ya Msingi Maweni na wakazi wa Kigamboni Jijini Dar es Salaam wakifuatilia hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni iliyofanyika katika Shule ya Maweni jana.


 Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole nchini Tanzania Agustine Lyatonga Mrema akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana.
Picha na: Frank Shija – MAELEZO

No comments: