Advertisements

Thursday, May 18, 2017

TANZIA: Msanii Dogo Mfaume, Afariki Dunia

TANZIA: Msanii wa Bongo Fleva, Mfaume Selemani ‘Dogo Mfaume’, aliyetamba zaidi na wimbo wake wa Kazi ya Dukani amefariki dunia leo.

Dogo Mfaume alikuwa Sober House (alikuwa akipata matibabu ya Matumizi ya Madawa ya Kulevya)

Marehemu alikuwa amepangiwa kufanya Operation ya Kichwa (ambapo alikuwa na Uvimbe) siku ya Ijumaa.

Dogo Mfaume – Kazi Ya Dukani (Official Video)

No comments: