Advertisements

Thursday, June 29, 2017

MSANII WA BONGO FLAVA RAY VANNY ANYAKUA TUZO BET MAREKANI

Msanii wa Bongo Flava Ray Vanny amechukua tuzo ya  Viewers’ Choice: Best New Act International Award. washiriki wengine katika tuzo hiyo walikua ni  Skip Marley (Jamaica), Remi (Australia),Jorja Smith (UK), Dave (UK), Daniel Caesar (Canada), Change (Korea), Amanda Black (South Africa).

Msanii mwingine kutoka Africa aliyeshinda tuzo BET ni Wizkid ameshinda tuzo ya Best African act na washiriki wengine walioshindana nae katika tuzo hiyo ni Stonebwoy, Nasty C, Babes Wodumo, AKA, Davido, Mr Eazi and Tekno. Wizkid anakua msanii wa kwaza wa Afrika kushinda tuzo mara mbili kwenye BET Awards.
Msanii wa Bongo Flava Ray Vanny akiwa katika picha ya pamoja na wasanii wengine walioshiriki tuzo za BET.
Related image
Msanii Ray Vanny akionyesha tuzo yake

No comments: