Advertisements

Sunday, June 4, 2017

TPDC YAIBUKA MSHINDI WA TUZO YA BANDA BORA SEKTA YA NISHATI NA MAZINGIRA

Waziri wa Malisili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe kushoto akimkabidhi  Afisa Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Augustino Kasale tuzo ya mshindi wa banda bora la sekta ya nishati na mazingira katika maonyesho ya Kimataifa ya Biashara wakati alipokwenda kuyafunga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella.
 Waziri wa Malisili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe kushoto akifurahia jambo na  Afisa Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Augustino Kasale mara baada ya kumkabidhi tuzo ya mshindi wa banda bora la sekta ya nishati na mazingira katika maonyesho ya Kimataifa ya Biashara wakati alipokwenda kuyafunga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella.
 Watumishi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wakiongozwa na Afisa Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Augustino Kasale kulia na katikati ni Mwanasheria wa TPDC Kelvin Gadi wakiwa na tuzo yao walioipata
 Watumishi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wakiongozwa na Afisa Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Augustino Kasale kulia na katikati ni Mwanasheria wa TPDC Kelvin Gadi wakiwa na tuzo yao waliyoipata
 Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kulia ni Mwanasheria wa Shirika hilo Kelvin Gadi
 Mwanasheria wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Kelvin Gadi kulia akisisitiza jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto mara baada ya kulitembelea banda lao
 Mkuu wa wilaya ya Handeni Mkoani Tanga,Godwin Gondwe wa pili kutoka kulia mwenye miwani akiteta jambo na watumishi wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mara baada ya kulitembelea
Mkuu wa wilaya ya Handeni Mkoani Tanga,Godwin Gondwe wa pili kutoka kulia mwenye miwani akiwa kwenye picha ya pamoja  na watumishi wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mara baada ya kulitembelea 

Habari kwa hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha.

No comments: