Advertisements

Friday, June 30, 2017

WANANCHI JIJINI MWANZA WAFURIKA OFISI YA TRA KULIPIA KODI YA MAJENGO

Wananchi wa Jiji la Mwanza wakiwa wamepanga  foleni nje ya Jengo la Ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania Kanda ya Mwanza, kusubiri muda wao wa kwenda kulipia Kodi ya Majengo   ambayo leo Juni 30 ndio mwisho wa kulipia kwa wale ambao bado. 

No comments: