Advertisements

Wednesday, July 19, 2017

KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA WATUMISHI WA NEMC

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Faustin Kamuzora akiongea na Watumishi wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) alipokutana nao kuongea mambo mbalimbali ya Kiutumishi, Ofisi hiyo ambayo iko Chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais.

Mmoja wa Watumishi wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Injinia Renalda Mukandara akichangia maoni yake wakati wa kikao hiko.

Sehemu ya Watumishi wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Faustin Kamuzora (hayupo pichani) alipokua akiongea nao alipokutana nao katika Ofisi za Baraza hilo.

No comments: