Familia ya Sakapala inasikitika kutangaza mziba wa mpendwa baba yao Mzee Kessy Sakapala uliotokea Tanzania siku ya Jumaane na kuzikwa jana Jumatano. Marehemu ni baba mzazi wa Ummy na Abuu
kama ilivyo desturi yetu kupeana pole ndio ustaarabu wetu hasa katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa mpendwa baba yao.
msiba hapa DMV upo
3904 Greencastle Ridge Rd # 103
Burtonsville,MD 20866
Kwa mawasiliano zaidi unaweza piga simu kwa
Danny Kaswamila 301 434 1541
Zawadi 301 379 2342
Abdul Sakapala 202 758 7805
Abuu Sakapala 301 728 8659
TAARIFA ZINGINE ZITAFUATA
No comments:
Post a Comment