Advertisements

Tuesday, January 2, 2018

WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI LUHAGA MPINA ASHEREHEKEA SIKUKUU YA MWAKA MPYA KWA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI WA JIMBO LA KISESA KUHAMASISHA KILIMO BORA CHA ZAO LA PAMBA

 Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akishirikiana na wakulima wa Kijiji cha Itinje Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu kupalilia shamba la pamba lililopandwa kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo wakati wa mapumziko yake ya sikukuu ya Mwaka Mpya jimboni kwake mapema leo.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambaye pia ni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akishirikiana baadhi ya wananchi wa jimbo la Kisesa Wilaya Meatu mkoani Simiyu kupalilia shamba la pamba ikiwa ni sehemu ya uhamasishaji kilimo cha kuzingatia mbinu bora za kilimo ikiwemo kupanda kwa mistari pamoja na kutochanganya zao hilo na mazao mengine alipokuwa kwenye mapumziko ya sikukuu ya mwaka mpya jimboni kwake.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akishirikiana mkulima wa Kijiji cha Itinje jimbo la Kisesa Wilaya Meatu mkoani Simiyu Mama Sagwa Njile kupalilia zao la pamba lililopandwa kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo wakati wa mapumziko ya sikukuu ya Mwaka Mpya jimboni kwake leo

No comments: