Advertisements

Monday, May 7, 2018

Kipindi cha JUKWAA LANGU, Mei 7, 2018

Katika kipindi cha JUKWAA LANGU hii leo ndani ya Kilimanjaro Studios, wageni wetu studioni ni kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali yanayoitumikia jamii ya wahitaji nchini Tanzania.
Katika saa la kwanza tutakuwa na uongozi wa SHINA INC ambao tangu mwaka 2002 wamekuwa wakisaidia jamii zenye uhitaji nchini Tanzania. Wana mengi ya kutushirikisha

Kwenye saa la pili tutakuwa na wakuu wa Help for Underserved Communities Inc. (HUC-USA) ambao wanajishughulisha kutoa textbooks mashuleni, VETA Scholarships na kusaidia matibabu ya macho nchini Tanzania.

Lakini tutaanza na mrejesho wa maadhimisho ya TANZANIA DAY 2018 yaliyofanyika Dallas Texas.

Ni kipindi cha JUKWAA LANGU, leo Jumatatu (Mei 7, 2018) na kila Jumatatu kuanzia saa 12 kamili jioni mpaka 2 kamili usiku kwa saa za Marekani Mashariki (6:00 - 8:00pm ET)
Ni kupitia Facebook live (Mubelwa Bandio na Kwanza Production) ama Kwanza Radio kwenye TuneIn
http://tun.in/sfwyf ama piga simu 202-683-4570
*******************************
PRODUCER: Mubelwa Bandio

No comments: