Advertisements

Friday, May 4, 2018

MATUKIO YA MKUTANO WA SABA WA TAASISI YA UTAFITI WA SERA ZA KIUCHUMI NA KIJAMII (ESRF) ULIOFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango akikaribishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Sera za Kiuchumi na Kijamii(ESRF), Dk. Tausi Kida (kulia), wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Saba wa taasisi hiyo ambapo mada mbalimbali zikihusu ukuzaji wa uchumi ziliwasilishwa.Katikati ni Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Katarina Rangnitt. Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Sera za Kiuchumi na Kijamii(ESRF), Dk. Tausi Kida  akiongoza moja ya majadiliano  wakati wa  Mkutano wa Saba wa taasisi hiyo ambapo mada mbalimbali zikihusu ukuzaji wa uchumi ziliwasilishwa.Wengine  kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu , Dk. Albina Chuwa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Maendeleo(UNDP), Fitsum Abraha.Mkutano huo ulifanyika jana , jijini Dar es Salaam.
 Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Prof. Sabina Alkire   akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa masuala ya uchumi ambapo mada mbalimbali zikihusu ukuzaji wa uchumi ziliwasilishwa. Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam.Kulia ni Prof. Kaushik Basu.
 Gavana  Mstaafu  wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa masuala ya uchumi ambapo mada mbalimbali zikihusu ukuzaji wa uchumi ziliwasilishwa. Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Prof. Joseph Stiglitz.

 Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Prof. Joseph Stiglitz akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa masuala ya uchumi ambapo mada mbalimbali zikihusu ukuzaji wa uchumi ziliwasilishwa. Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam.Kulia ni Gavana  Mstaafu  wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu
 Mshiriki wa Mkutano wa Saba wa Taasisi ya Utafiti wa Sera za Kiuchumi na Kijamii, Dk. Charles Kitima akichangia hoja wakati wa mkutano huo ambapo masuala mbalimbali ya ukuzaji uchumi yalijadiliwa.Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam.
 Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mstaafu (CAG), Ludovick Utoh akichangia hoja wakati wa mkutano huo ambapo masuala mbalimbali ya ukuzaji uchumi yalijadiliwa.Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam.
 Mshiriki wa Mkutano wa Saba wa Taasisi ya Utafiti wa Sera za Kiuchumi na Kijamii, Prof. Honest Ngowi akichangia hoja wakati wa mkutano huo ambapo masuala mbalimbali ya ukuzaji uchumi yalijadiliwa.Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam

Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bella Bird akichangia hoja wakati wa mkutano huo ambapo masuala mbalimbali ya ukuzaji uchumi yalijadiliwa.Mkutano huo ulifanyika jana, jijini Dar es Salaam.Picha zote na Abubakari Akida

No comments: