Advertisements

Monday, May 7, 2018

RAIS DK. SHEIN AFANYA MKUTANO NA MABALOZI WA WILAYA YA AMANI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiwahutubia Mabalozi wa Wilaya ya Amani  Mkoa wa Mjini Kichama  wakati alipozungumza nao katika Mkutano wa kuimarisha Chama cha Mapinduzi  uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisoma vifungu vya Katiba ya Chama wakati wa mkutano wa  Mabalozi wa Wilaya ya Amani  Mkoa wa Mjini Kichama  wakati alipozungumza nao katika Mkutano wa kuimarisha Chama cha Mapinduzi  uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani.
 Viongozi,Watendaji na Mabalozi wa Wilaya ya Amani  Mkoa wa Mjini Kichama  wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipozungumza nao katika Mkutano wa Kuimarisha Chama cha Mapinduzi   uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)  akimkabidhi kadi ya Uwanachama wa Chama cha Mapinduzi Nd,Mwanaisha Abdalla Bakari kutoka Tawi la CCM Nyerere wakati wa  Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani akiwa katika ziara ya kumarisha Chama cha CCM (kushoto)  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Twalib Ali Twalib.
 ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein (katikati) akipokea Taarifa ya Mabalozi wa Wilaya ya Amani kutoka kwa Fatma Kassim wakati wa  Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)  akimkabidhi kadi ya Uwanachama wa Chama cha Mapinduzi Nd,Juma Rajab Adam  kutoka Tawi la CCM Mpendae  wakati wa Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani akiwa katika ziara ya kumarisha Chama cha CCM (kushoto)  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Twalib Ali Twalib.
 Wanachama wapya wa Chama cha Mapinduzi CCM wakila kiapo mara baada ya kukabidhiwa Kadi zao na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein leo katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)  akimkabidhi kadi ya Uwanachama wa Chama cha Mapinduzi Nd,  Salim Mussa Omar  kutoka Chama cha CUF  wakati wa Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani akiwa katika ziara ya kumarisha Chama cha CCM
 Mwanachama Mpya Nd.Salim Mussa Omar akila kiapo mara baada ya kukabidhiwa Kadi ya Uwanachama wa Chama cha Mapinduizi CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein leo katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani
  Mabalozi wa Wilaya ya Amani  Mkoa wa Mjini Kichama  wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipozungumza nao leo katika Mkutano wa Kuimarisha Chama cha Mapinduzi   uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa  Amani.
(Picha na Ikulu)

No comments: