Kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), imebadili nembo na jina la iliyokuwa TTCL Pesa na sasa kujulikana kama T Pesa baada ya Uzinduzi uliofanyika jijini Dodoma leo. (Picha:Mroki Mroki-Daily News Digital)
Meza Kuu ikifuatilia matukio wakati wa uzinduzi huo.
Meza Kuu ikifuatilia matukio wakati wa uzinduzi huo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TTCL Corp, Omar Nundu akizungumza.
Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasilaino (Sekta ya Mawasiliano), Atashasta Nditiye akizungumza wakati wa usimduzi huo.
Meya wa Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe akitoa neno wakati wa uzinduzi huo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imemchagua, Naghenjwa Kaboyoka(Picha:Mroki Mroki-Daily News Digital)
Mgeni
Rasmi, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasilaino (Sekta ya
Mawasiliano), Atashasta Nditiye akiwa amezindua Nembo mpya ya T Pesa.
Mgeni
Rasmi, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasilaino (Sekta ya
Mawasiliano), Atashasta Nditiye akiwa amezindua Nembo mpya ya T Pesa.
picha mbalimbali za pamoja zikipigwa kwa makundi mbalimbali tofauti(Picha:Mroki Mroki-Daily News Digital)
Wananchi wakijisajili na huduma ya T Pesa.
No comments:
Post a Comment