Advertisements

Tuesday, May 1, 2018

UKODAK NA NDUGU, TUNU ADIMU KWENYE ZANZIBAR VIP RECEPTION YA TANZANIA DAY 2018


Mtambue Ndugu Tunu Adimu mwanariadha maarufu mtanzania pekee aliyeiwakilisha nchi ya Tanzania katika mashindano ya Olympics nchini Mexico yaliyofanyika mwaka 1958. Ndugu Tunu akiwa amevunjika mguu wakati wa mashindano. Mwanariaadha huyu aliishangaza dunia kwa kunyanyuka na kuendelea mpaka kumalizia michuano ya Olympics licha ya maumivu makali na hasa pale alipowaambia waandishi wa habari kuwa nchi ya Tanzania ilimtuma kumaliza au kifikia kilele cha mashindano yale.



Viongozi wa Jumuiya ya Dallas, wakipata ukodak kwenye sherehe za Tanzania Day.




Wageni mbalimbali wakipata Menu ya kitanzania.

























No comments: