Advertisements

Thursday, May 3, 2018

WADAU WA MASUALA YA JINSIA WAENDELEZA MAJADILIANO KATIKA UANDAAJI WA KITINI CHA MASUALA YA JINSIA

 Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Mboni Mgaza akifafanua jambo kuhusu masuala ya kijinsia  kwa wataalam na wadau wa maendeleo ya Jinsia katika  kikao cha  kuandaa kitini cha kufundishia masuala ya Jinsia “Gender Module” kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wa Mwaka 2017/18-2021/22 kinachoendelea mjini Morogoro leo Mei 03, 2018.
 Mwezeshaji wa Kikao Bw.Clarence Kipobota akitoa mwelekeo wa uaandaaji  wa kitini cha kufundishia masuala ya Jinsia “Gender Module” katika mchakato wa kuandaa kitini hicho kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wa Mwaka 2017/18-2021/22 katika kikao kati ya Serikali na wadau kinachoendelea  mjini Morogoro leo Mei 03,2018 .
 Mwakilishi wa AMREF Health Africa Bi. Sophia Kimaro akitoa maoni kuhusu uboreshaji wa kitini maalaum cha masuala ya Jinsia “Gender Module” katika kikao cha wataalam na wadau wa maendeleo ya Jinsia katika kuandaa kitini hicho kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wa Mwaka 2017/18-2021/22 kinachoendelea mjini Morogoro leo Mei 03,2018.
 Mwakilishi wa TGNP Mtandao Bi. Agnes Lukanga akitoa maoni kuhusu kuzingatia masuala ya unyanyasaji kwa jinsi zote  katika kikao cha wataalam na wadau wa maendeleo ya Jinsia katika kuandaa kitini cha kufundishia masuala ya Jinsia “Gender Module” kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wa Mwaka 2017/18-2021/22 kinachoendelea mjini Morogoro leo Mei 03,2018.
 Mchumi kutoka Idara ya Sera na Mipango, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Seto Ojwando akitoa maoni kuhusu uzingatiwa wa masuala ya Kisera katika uaandaji wa kitini maalum cha masuala ya Jinsia “Gender Module” katika kikao cha wataalam na wadau wa maendeleo ya Jinsia katika kuandaa kitini hicho kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wa Mwaka 2017/18-2021/22 kinachoendelea mjini Morogoro leo Mei 03,2018.

 Baadhi ya wadau na wataalamu wa masuala ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika kikao cha wataalam na wadau wa maendeleo ya Jinsia katika kuandaa kitini cha kufundishia masuala ya Jinsia “Gender Module” kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wa Mwaka 2017/18-2021/22 kinachoendelea mjini Morogoro leo Mei 03, 2018.
 Picha na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW

No comments: