Advertisements

Wednesday, June 6, 2018

WAJUMBE KAMATI ZA BAJETI NA UONGOZI WASHAURIANA NA SERIKALI KUHUSU HOJA ZENYE MASLAHI KWA TAIFA

 Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti na Kamati ya Uongozi wakifanya Mashauriano na Serikali kuhusu Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa Bajeti za Wizara kwa Mwaka 2017/2018 na Makadirio ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 katika kikao kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

 Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti na Mbunge wa Mtwara Vijijini, Mhe. Hawa Ghasia akizungumza wakati wa Mashauriano kati ya kamati ya Bajeti, kamati ya Uongozi  na Serikali kuhusu Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa Bajeti za Wizara kwa Mwaka 2017/2018 na Makadirio ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Bajeti na Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Jitu Soni
 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Phillip Mpango akizungumza na Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti na Kamati ya Uongozi (hawapo kwenye picha) wakati wa  Mashauriano na Serikali kuhusu Hoja zenye.
 Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala, Mhe. Mussa Zungu akizungumza wakati wa Mashauriano na Serikali kuhusu Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa Bajeti za Wizara kwa Mwaka 2017/2018 na Makadirio ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019  yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Mhe. Mwanne Mchemba
 Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii na Mbunge wa kigoma kaskazini, Mhe. Peter Serukamba (katikati) akizungumza wakati wa Mashauriano kati ya kamati ya Bajeti, kamati ya Uongozi  na Serikali kuhusu Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa Bajeti za Wizara kwa Mwaka 2017/2018 na Makadirio ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Mwanza Mhe. Kemirembe Lwota na kushoto ni Mbunge wa Mbeya Vijijini, Mhe. Oran Njeza.
Mjumbe wa kamati ya Bajeti na Mbunge wa Muheza, Mhe. Balozi Adadi Rajabu akizungumza wakati wa Mashauriano kati ya kamati ya Bajeti, kamati ya Uongozi  na Serikali kuhusu Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa Bajeti za Wizara kwa Mwaka 2017/2018 na Makadirio ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni Wajumbe wa Kamati ya Bajeti Mhe. Mashimba Ndaki na Mhe. Martha Umbulla na nyuma ni Mhe. Ruth Mollel

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments: