Advertisements

Thursday, July 12, 2018

WAZIRI MKUU AHUTUBIA MKUTANO WA MAAFISA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao cha Maafisa Kilimo, Mifugo na u mUvuvi kilichofanyika kwenye  ukumbi wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma Julai 12, 2018.
 Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Maafisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza katika mkutano wao kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma Julai 12, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia viongozi baada ya kuhutubia  Mkutano wa Maafisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma, Julai 12, 2018.  Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Suleiman Jafo, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments: