Advertisements

Monday, September 17, 2018

MFUGALE Flyover ahadi ya Rais Dkt. Magufuli ya tarehe 17 Oktoba 2015 Ime...


Ikumbukwe kwamba mnamo tarehe 17 Octoba 2015 katika kampeni za uchaguzi mkuu 2015, Dk Magufuli alifanya kampeni katika jimbo la Segerea, aliwaomba wakazi wa Dar es Salaam wampatie kura Oktoba 25 ili aweze kutekeleza miradi hiyo mikubwa itakayoenda sanjari na ujenzi wa barabara za juu zitakazopunguza foleni.
LEO AHADI IMETIMIA BAADA YA KUANZA RASMI KUTUMIKA KWA FLYOVER MPYA YA Eng. Patrick MFUGULE

No comments: