Advertisements

Friday, November 30, 2018

Reli ya Kisasa ya Umeme ya nchini Tanzania yaanza kuleta sura MpyA+


 Matokeo ChanyA+ nchini Tanzania Sehemu ya Wakandarasi wakiendelea na upandaji nyasi kwa ajili ya kuzuia Mmomonyoko wa udongo kwenye tuta la kukatisha reli ya SGR 

 
Mafundi chuma wa mradi wa SGR Kutoka Yap Markenz wakiendelea na kazi katika yard ya Shaurimoyo Jijini Dar es Salaam


Mafundi chuma wa mradi wa SGR Kutoka Yap Markenz wakiendelea na kazi katika yard ya Shaurimoyo Jijini Dar es Salaam. 


Moja ya kituo cha Mfano kikiwa katika picha ya mfumo wa 3d na kikionesha namna ya kituo cha Pugu Station kitakavyokuwa. 
 

Mafundi Wakiendelea na Ujenzi wa Madaraja na karavati katika eneo la mradi wa SGR eneo la Lot 1 Kisarawe.

No comments: