Advertisements

Thursday, January 17, 2019

KAMATI YA BUNGE YAISHAURI SERIKALI IMALIZIE MAZUNGUMZO YA SHILINGI BIL.345 ZA UTALII KUSINI

 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mwanne Nchemba akizungumza katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Jijini katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, katikati ni Katibu wa Kamati, Eunice Shirima na wa kwanza ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Jason Rweikiza.
 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Jijini katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo wamepokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhusu utendaji wa Tume ya Utumishi katika kipindi cha Julai hadi Desemba mwaka 2018.
Naibu Waziri , Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mwita Waitara akifuatilia hoja za wajumbe wa Kamati Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Jijini katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo Kamati imepokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhusu utendaji wa Tume ya Utumishi katika kipindi cha Julai hadi Desemba mwaka 2018.

No comments: