ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, January 17, 2019

WAZIRI MHAGAMA AKERWA NA SEKTA BINAFSI YA ULINZI KUONGOZA KWA MIGOGORO MAHALA PA KAZI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akiongea, wakati wa kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (hawapo pichani) kilichowakutanisha Wasuluhishi na waamuzi wa migogoro ya kikazi nchi nzima, mjini Morogoro, tarehe 14 Januari, 2019.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi, Shanes Nungu akiongea, wakati wa kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi kilichowakutanisha Wasuluhishi na waamuzi wa migogoro ya kikazi nchi nzima, mjini Morogoro, tarehe 14 Januari, 2019.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi wakiwa katika kikao hicho kilichowakutanisha Wasuluhishi na waamuzi wa migogoro ya kikazi nchi nzima, mjini Morogoro, tarehe 14 Januari, 2019.
Mmoja wa wajumbe wa Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi akichangia hoja katika kikao hicho kilichowakutanisha Wasuluhishi na waamuzi wa migogoro ya kikazi nchi nzima, mjini Morogoro, tarehe 14 Januari, 2019
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akiwa katikapicha ya pamoja na wajumbe wa kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi kilichowakutanisha Wasuluhishi na waamuzi wa migogoro ya kikazi nchi nzima, mjini Morogoro, tarehe 14 Januari, 2019.

No comments: