Advertisements

Friday, February 8, 2019

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU LA WATU WENYE ULEMAVU

  Spika wa Bunge Job Ndugai akizungumza na Viongozi wa Shirikisho la Mpira  wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania.
 Rais wa Shirikisho la Mpira  wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania Peter Sarungi  akimueleza jambo Spika wa Bunge Job Ndugai wakati walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Rais wa Shirikisho la Mpira  wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania Peter Sarungi  (katikati) akimkabidhi jezi Spika wa Bunge Job Ndugai walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge Job Ndugai (wa pili kutoka kushoto) katika picha ya pamoja  na Viongozi wa Shirikisho la Mpira  wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE

No comments: