Advertisements

Sunday, March 31, 2019

MSIBA

Taarifa ya Msiba

Habari za mchana.Taarifa fupi zilizotufikia muda mchache uliopita mtanzania mwenzetu aishie hapa Columbus Ohio *Stanley Mushi* amefariki dunia .

Marehemu hakuwa mwanamfuko hila kama jumuiya tunaombwa kushirikiana wote kwenye jambo hili.

Taratibu zingine na maelezo mengine tutawajulisha . Mungu amlaze mahali pema peponi.Amina!

TCCA

Uongozi.


No comments: