Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Kongamano la Kitaifa la Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto kwenye ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Dar es salaam (DUCE), Machi 21, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la Kitaifa la Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Kongamano hilo kwenye ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Dar es salaam (DUCE), Machi 21, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu Tanzania Mstaafu, Bibi Helen
Kijo Bisimba baada ya kufungua Kongamano la Kitaifa la Kutokomeza
Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto kwenye ukumbi wa Chuo Kikuu
Kishiriki cha Dar es salaam (DUCE) Machi 19, 2019. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment