Advertisements

Thursday, March 21, 2019

Maandalizi ya fainal za AFCON U-17 yanaendelea vizuri

 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Fainali za AFCON U-17 Bw.Leodigar C.Tenga akiongoza Kikao cha Maandalizi ya Fainali hizo leo Jijini Dar es Salaam zinazotarajiwa kufanyika hapa nchini kuanzia Aprili 14 – 28 2019 ambapo timu ya Serengeti Boys itashiriki.
Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia Kikao cha Maandalizi ya Fainali za AFON U-17.kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Fainal hizo  Bw.Leodigar C.Tenga hizo leo Jijini Dar es Salaam zinazotarajiwa kufanyika hapa nchini kuanzia Aprili 14 – 28 2019 ambapo timu ya Serengeti Boys itashiriki.

No comments: