Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani (katikati), akiangalia mchoro wa ramani ya kituo cha kupoza umeme kinachojengwa Nyakanazi, wilayani Biharamulo alipotembelea eneo hilo Februari 25, kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi husika.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Raymond Seya (katikati), akijadiliana jambo na Meneja wa shirika hilo Kanda ya Ziwa, Mhandisi Maclean Mbonile (kushoto) na Meneja wa Wilaya ya Biharamulo, Ernest Milyango wakati wa ziara ya Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani (hayupo pichani), eneo kunapojengwa kituo cha kupoza umeme Nyakanazi, wilayani Biharamulo, Februari 25, 2020.


No comments:
Post a Comment