
Mmoja wanamuziki wa bendi hiyo, John Kitime amesema; “Ni kweli Babu Njenje amefariki dunia na sasa naelekea pale alipokuwa akiishi, Mtaa wa Mindu-Upanga ambapo taratibu zitafanyika.”
Babu Njenje atakumbukwa kwa nyimbo zake nyingi zikiwemo Njenje na Kinyaunyau. Kwa niaba ya Kampuni ya Global Publishers nasema Mungu ailaze roho ya Babu Njenje mahali pema peponi. Amina.
Na Sifael Paul wa GPL
No comments:
Post a Comment