ANGALIA LIVE NEWS

Friday, May 22, 2020

TANZIA NYUMBANI TANZIA

*TANZIA*
Familia ya Beatrice na Erick Lemunge inasikitika kutangaza kifo cha mama mzazi wa Erick, mama Laura Lemunge, kilichotokea Tanzania saa saa sita na dkk 24 usiku kule Arusha (saa kumi na moja na nusu ya Minnesota).

Mipango ya kusafirisha kwenda Rombo kwa mazishi inafanywa.

Kwa ajili ya kutoruhusiwa mikusanyiko ya watu wengi, hatutakuwa na mkusanyiko wowote nyumbani kwa Beatrice na Erick. 
Kama kutakuwa na utaratibu wa kukusanyika hapo baadaye, tutawapa taarifa.

Unaweza kuwasalimia Erick na Beatrice kwa kupitia 
namba 
651-398-1861 
na 
763-334-8505.

Kama ungependa kutoa rambirambi kwa wafiwa, tafadhali tuma rambirambi yako kwa wafiwa kwa njia zifuatazo:
1. CashApp
•$ErickLemunge 
2. Bank Account: Zelle
•Beatrice H. Laizer
8455484926

Kwa taarifa zaidi, unaweza kuwasiliana pia na Emma Kasiga kwa namba 
612-229-4050

Mungu amlaze mahali pema peponi Mama yetu Laura Lemunge. 

Amina

No comments: