Advertisements

Saturday, March 23, 2024

MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO AMUWAKILISHA RAIS SAMIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC ORGAN TROIKA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiongoza ujumbe wa Tanzania katika kushiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia. Tarehe 23 Machi 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Zambia wakati akiwasili katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia kushiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC). Tarehe 23 Machi 2024.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kando ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia. Tarehe 23 Machi 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba kando ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia. Tarehe 23 Machi 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema kando ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia. Tarehe 23 Machi 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera kando ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia. Tarehe 23 Machi 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Makamu wa Rais wa Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah kando ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia. Tarehe 23 Machi 2024.




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC Organ Troika),Nchi za Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na Nchi zinazochangia vikosi katika jeshi la utayari la SADC lililopo nchini Msumbiji (SAMIM) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (SAMIDRC) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mulungushi kilichopo Lusaka nchini Zambia. Tarehe 23 Machi 2024.

No comments: