Advertisements

Monday, April 15, 2024

KATIBU MKUU UJENZI AZITAKA TAASISI ZOTE ZIANZE KUTUMIA MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI.



Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi, Mhandisi Aisha Amour, akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakati akifungua Baraza hilo, lililofanyika Mkoani Morogoro.


Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Aisha Amour (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Baraza hilo Mkoani Morogoro.



No comments: