Advertisements

Monday, April 15, 2024

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA KUHAMASISHA UWEKEZAJI BUSTANI ZA KIJANI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na viongozi mbalimbali katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar mkoani Dodoma alipowasili kwaajili ya kufungua Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji katika Bustani za Kijani Nchini kwa Maendeleo Endelevu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifuatilia mawasilisho mbalimbali wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji katika Bustani za Kijani Nchini kwa Maendeleo Endelevu linalofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar mkoani Dodoma tarehe 15 Aprili 2024. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo na kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Bw. Kadari Singo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji katika Bustani za Kijani Nchini kwa Maendeleo Endelevu linalofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar mkoani Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi wanaotunza bustani mbalimbali za miti na maua wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kufungua Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji katika Bustani za Kijani Nchini kwa Maendeleo Endelevu linalofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar mkoani Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule (Kushoto) mara baada ya kufungua Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji katika Bustani za Kijani Nchini kwa Maendeleo Endelevu linalofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar mkoani Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Adam Kimbisa namna ya kuongeza jitihada katika upandaji miti na utunzaji mazingira mara baada ya kufungua Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji katika Bustani za Kijani Nchini kwa Maendeleo Endelevu linalofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar mkoani Dodoma tarehe 15 Aprili 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo wakati alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar mkoani Dodoma kwaajili ya Ufunguzi wa Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji katika Bustani za Kijani Nchini kwa Maendeleo Endelevu

No comments: