Ratiba ya Madaktari bingwa na bobezi watakaokuwa zamu siku ya Jumatano Julai Mosi 2026, kwa Team husika wakitoa huduma ya matibabu ya mifupa ( Team A, Team T , P/OT) uti wa mgongo, ubongo na mishipa ya fahamu (GNS, ENDOSCOPIC, PNS).
Pia daktari mtaalam wa "usingizi na ganzi", moyo, kisukari (PHYSICIAN) n.k watakuwepo.
Karibu upate huduma.


No comments:
Post a Comment