Friday, January 28, 2011

Image
Wanafunzi wa Darasa la Kwanza katika Shule ya Msingi ya Biharamulo wilayani Biharamulo mkoani madai dhidi yao katika Mahakama Kagera, Alice Josam (kulia) na Eric Elias, wakiwagawia wenzao uji wakati wa mapumziko huku mwalimu wao, Melania Gema, akiwasimamia kwa karibu. Shule hiyo hutoa uji kwa wanafunzi wote kila siku. (Picha na Mgaya Kingoba).

No comments: