ANGALIA LIVE NEWS

Monday, March 24, 2014

ALICHOKIFANYA JANA MSANII DIAMOND PLATNUM COCO BEACH


Jana ndani ya ,viwanja vya Coco beach,jijin
 Dar..ilikuwa ndio siku ya kuhitimisha
 mfululizo wa,shows za GOOD TIME YA UKWELI 
zilizoandaliwa na kampuni ya,Coca cola .
.Diamond na team ya vijana  makini wa WCB
walikuwepo na wakafanya yeo kama hivi.......!!!!!

 Tulipowasili

 Dj Romy Jons














3 comments:

Anonymous said...

Mganga wake ni noma Duh!

Anonymous said...

Mganga wake ni Hard Work. Jamaa anajituma, anajua anachotaka. Nyie mkisubiria waganga/uchawi mtasubiri sana. mfanye kazi kwa bidii.

Anonymous said...

Kaka nakuhunga mkono.Watasubili mgaga mpaka watamaliza familia yote. bila mafanikio. Jitume mwenyewe Ndio ugaga