Karibuni Sana Wapendwa Wote
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya
misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
kwa nia ya Kutoa Shukurani (Thanksgiving),
Kuwaombea Marehemu Wote na
Kusheherekea Uhuru wa Tanzania na Kenya
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)
901 Poplar Grove St,
Baltimore, MD 21216,
Phone: (410) 362-2000
Tarehe 30 Novemba 2014. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya
barua pepe na Wakatoliki DMV anwani WauminiWakatoliki@gmail.com
Kwa niaba ya Baba Paroko, Padri Honest Munishi,
ni katibu wa Wakatoliki DMV Dani Steven
No comments:
Post a Comment