Advertisements

Wednesday, September 26, 2018

DKT. MLIMA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS MUSEVENI



Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz P. Mlima (kulia) akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni Ikulu jijini Kampala, Uganda tarehe 25 Septemba 2018. 
Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz P. Mlima akiwa pamoja na Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho 
Picha ya Pamoja

No comments: