Advertisements

Wednesday, January 9, 2019

WATUMISHI WA TAKUKURU NCHINI WATAKIWA KUTOTUMIKA VIBAYA KUKWAMISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA NA UFISADI ILI KULINDA RASIRIMALI ZA NCHI

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi TAKUKURU (hawapo pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi alipotembelea ofisini kwao jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhimiza mapambano dhidi ya rushwa.
Baadhi ya watumishi wa TAKUKURU makao makuu wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakati wa ziara yake ya kikazi alipotembelea watumishi hao ofisini kwao jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhimiza mapambano dhidi ya rushwa.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza jambo na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna wa Polisi, Diwani Athumani kabla ya kuzungumza na watumishi wa TAKUKURU kwa lengo la kuhimiza mapambano dhidi ya rushwa wakati wa ziara yake ya kikazi katika ofisi hizo jijini Dar es Salaam 
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na menejimenti ya TAKUKURU baada ya kuzungumza na watumishi wa TAKUKURU kwa lengo la kuhimiza mapambano dhidi ya rushwa wakati wa ziara yake ya kikazi katika ofisi hizo jijini Dar es Salaam 

JAMES KATUBUKA MWANAMYOTO,
AFISA HABARI,
OFISI YA RAIS-UTUMISHI,
0713 360 813
09/01/2019.

No comments: