Theluji ya kwanza majira ya baridi 2019/2020 ikidondoka siku ya Jumanne Jan 7, 2020 majira ya alasiri ambayo haikua na madhara mengi iliyokua imechanganyika na mvua nabaadae ikigeauga theluji iliyodondoka kwa takribani saa 3 na nusu na kusababisha maeneo mengi ya DMV shule kufungwa mapema ikiwemo wafanyakazi kuruhusiwa kutoka makazini mapema.
Barabara zilivyokua zikionekana
Magari yakipaula theluji iliyodondoka na kumwaga chumvi kuyeyusho theluji iwe rahisi kwa wanao tumia vyombo vya moto kuendesha kwa urahisi bila kuteleza na kupoteza umakini barabarani.
No comments:
Post a Comment